Waweza Kuishi na Yesu, lakini huwezi kuishi bila Yesu.Yohan 3:16



JINSI MAJASUSI WALIVYOANZISHA MATUMIZI YA VIDONGE
Utumiaji wa vidonge ulianzishwa na majasusi , ili kutengeneza faida
bila kujali kwamba vidonge ni sumu kwa afya ya mtumiaji.

    

    
Miaka ya 1930, Morris A. Bealle aliyekuwa mhariri wa zamani gazeti la Washington Times and Herald nchini marekani,alikuwa msimamizi wa gazeti maarufu ambalo liliingiza mapato makubwa sana kwa matangazo ya Kampuni ya nishati kila wiki.

Katika mapato yaliyokuwa yakikusanywa mwisho wa mwezi, kampuni hiyo ilionekana kama tegemeo kubwa la gazeti hilo.
Siku moja habari za malalamiko ya wananchi dhidi ya huduma mbovu za kumpuni hiyo yalianza kuandikwa na gazeti hilo.

Bealle,  alipata vitisho,vikali kutoka kwa kampuni iliyotengeneza matangazo ya kampuni hiyo ya nishati kuambiwa kama ataendelea kuandika habari “zilizo nje ya mfumo”  wa kampuni hiyo, si kwamba ataondolewa katika mkataba wa matangazo tu, bali kusitishwa katika huduma za kampuni ya gesi na ya huduma za simu.

Hapo ndipo macho ya Bealle yalifunguka kuhusu “uhuru wa vyombo vya habari”,hatimaye akaacha kazi kwasababu alikuwa na uwezo mzuri kiuchumi.

Kupitia uzoefu wake kitaaluma aliamua kufanya utafiti kuhusu uhuru wa vyombo vya habari na kuja na tafiti kuu mbili
1.   Habari kuhusu Vidonge (The Drug Story)
2.   Nyumba ya Rokifila. (House of Rockefeller)

Kitabu kilichofunua siri kali ,jinsi jamii ya siri ya Majasusiwalivyosambaza
 utumiaji wa madawa ya kisasa (vidonge)ambayo ni hatari kwa afya
 yamwanadam



Pamoja na uzoefu katika ulimwengu wa uhariri  hakuweza kuandika mafunuo yake mpaka alipoanzisha kampuni yake binafsi iliyoitwa Idara ya uchapishaji –Kolombia, Washinton D.C.,mwaka 1949.

Pamoja na kitabu cha Habari kuhusu Vidonge  kuwa katabu cha pekee katika masuala ya Siasa na Afya nchini Marekni, kamwe hakijawahi kupelekwa katika maktaba kuu za vitabu wala kuzungumziwa katika magazeti ya marekani.
Kwa upande wa uuzaji , kitabu hiki pekee kiliuzwa kwa njia ya mizigo iliyosafirishwa kupitia shirika la Posta. Pamoja na hayo , kitabu hiki baada ya kuingia sokoni katika toleo lake la 33 kilikuwa kikitoka katika lebo tofauti kama vile Biworld Publishers, Orem na Utah

Baelle alibainisha kuwa kwa miaka 1960, biashara iliyoingiza faida asilimia sita (6%), ilikuwa ni biashara kubwa sana.

KAMPUNI YA JAMII YA SIRI (MAJASUSI) ILIYOITWA NGOME YA MADAWA YA ROKIFILA (The Rockefeller Drug Empire) iliingiza faida Dolla za marekani Milioni 23.4 baada ya kulipa Kodi katika mali za thamani ya Dola milioni 43.1. sawa na asilimia hamsini na nne (54%) .
Kampuni ya Skwibu (Squib) amayo pia iko chini ya  Rokifila (Kampuni ya majasusi) iliingiza faida ambayo si asilimia 6 bali asilimia 576 (576%) katika thamani
Faida hii ilitokana na juhudi za Daktari mkuu wa Upasuaji  , ofisi ya Jemedari wa jeshi pamoja na Taasisi ya Madawa Na Upareshei ya Navi (Navy Bureau of Medicine and surgery)   Taasisi hizi hasikuwa tu  zikihimiza wattu watumie vidonge, lakini walilazimisha  sumu za vidonge katika damu za Wanajeshu wa Marekani , wasafiri wa majini na mabaharia.
“Je ni ajabu , kwamba Rokifila, na vitengo vyao vya vya biashara (mbovu) ya vyakula na madawa, Jumuiya ya Afya Ulaya, Taasisi Kuu ya Biashara,  Taasisi ya Madawa ya Navi, na maelfu ya maafisa wa dawa nchi nzima , kuunganika na kupinga aina zote za tiba zipingazo matumizi ya vidonge?” Aliuliza baelle.
Baelle aliendelea kubainisha kwamba katika kipindi hicho “Ropoti ya mwisho wa mwaka ya Faundesheni ya Rokifila”, ilionyehsa zawadi (tuzo) ilizotoa katika vyuo na taasisi za umma katika miaka 44 iliyopita, thamani yake ilizidi dola nusu bilioni.
Vyuo hivi vilianza kufundisha ujuzi wa kutumia madawa ambayo Famasi za Rokifila zilihitaji ufundishwe.  Tofauti na hapo hukukuwa na tuzo, kama vile vyuo visivyo vya kawaida 30 katika jumuiya ya Ulaya vilivyokosa tuzo kwa kutofundihsa tiba zilizoegemea katika utumiaji wa vidonge.
Baadhi ya vyuo maarufu vilivyopewa fedha na kampuni hii ya Kijasusi ili kuhimiza utumiaji wa madawa ya kisasa ni:
·       Havadi, pamoja na shule yake ya Tiba ambayo maarufu sana , ilikuwa imepokea  Dola Milioni 8.7 kutoka Taasisi ya Fedha za Madawa ya Rokifila.(Rockefeller’s Drug Trust Money )
·       Yale, chuo kilipewa Dola Milioni 7.9
·       John Hopkinss, kilipokea Dola Milioni 10.4
·       Chuo Kikuu  cha Washintoni huko Mt.Louis, kilipewa Dolla Milioni 2.8
·       Chuo Kikuu cha New York Kolombia , kilipewa Dola Milioni 5.4
·       Chuo Kikuu cha Korneli , kilipokea Dolla Milioni 1.7 n.k
Pamoja na “kugawa” vitita vya fedha kwa vyuo vilivyosambaza propaganda za utumiaji wa vidonge , madhumuni ya Rokifilla yaliendelea kukua katika mtandao wa dunia nzima kuliko mtu yeyote awezavyo kugunda.
Kwa zaidi ya miaka 30, ilikuwa ni kiasi cha kutosha kwa Baelle kugundua Makusudio yaliyoanzishwa na Rokifila, na kuendelezwa katika Kampuni kubwa isiyoweza kufikiriwa namwanadam.
Rokifila inamiliki jumuiya kubwa ya kuzalisha madawa ya kisasa Duniani kote, na hutumia madhumuni yao mengine yote kukuza uuzaji wa madawa. Ukweli kwamba zaidi ya aina 12,000 za madawa tofauti (ya kisasa) katika soko ni sumu, si wazo la wazalishaji wa madawa...
Itaendelea...


MBINU ZA IBILISI KUONDOA MATENGENEZO KWA WAKRISTO
Shabaha Kubwa Ya ibilisi ni kuwaondoa watu katika Utii wa neno la Mungu
kwasababu kutii Biblia ni kiini cha matengenezo, na utakaso . Yohana 17:17. 


Katika biblia, Yuda 1:3 Biblia yasema tuipiganie imani waliyokabidhiwa watakatifu mara Moja...


Miongoni mwa mambo makubwa aliyhoyafanya Ibilisi, ni kuondoa hali ya matengenezo kwa watu wa Mungu, zifuatazo ni agenda kuu kumi zilizoandaliwa na jamii za siri ili kuwafanya Wakristo wabweteke , na kuachana na juhudi ya kufanya matengenezo. 

Mambo aliyopangilia Ibilisi kupitia kikao cha siri, kama utakavyoyasoma utagundua kwamba ni udhihirisho katika yale yaendeleayo miongoni mwa Wakristo wengi.

Hizi ni agenda za kikao cha siri

  1. Kuzusha magombano baina ya waombezi ili kuwavunja wasiendelee kumtafuta Mungu wao.
  2. Sababisheni hadithi kwa wingi watakapoingia ndani ya makanisa yao wakati wa kuja kumuomba Mungu wao.
  3. Msiwaruhusu kuomba wakati wa kulala kwao (Janatus) maana hamuwezi kuwaona wakifunikwa na nguvu za Mungu wao.
  4. Msiwape nguvu au nafasi ya kusoma Biblia, baadala yake wapeni wakati mwingi wa kusoma magezeti na kuangalia televishini zao.
  5. Sababisheni ufukara, mateso na pesa zao kupotea bila wao kujua ili wasimtolee Mungu wao, na walio na pesa roho ya ubahili ya kutokutoa.
  6. Inueni nguvu za kuzimu makanisani kwao baina ya viongozi na washirika wao na vijana kwa wasichana ili kupata nafasi ya kuzima nguvu zao.
  7. Ibada zao ziwe baridi kabisa ili Roho wa Mungu wao asipate nafasi ya kuongea na kusikia kutoka kwake.
  8. Tumieni ajali maana damu yao tutaitumia katika vikao vyetu.
  9. Akina mama wajawazito wazalishwe kwa operesheni ili kupata damu.
  10. Tumieni Ukimwi wa kutengeneza kama pigo kwao ili kuwamaliza na kuwaletea aibu katika vifo vyao.
  11. Vurugeni umoja wa nyumba zao kati ya mke na mume, wazazi na waatoto wao ili maombi yasipatikane.
Hayo ni Baadhi ya Mambo yhaliyoorodhesha katika barua ya kikao hicho.

Ukristo ni gharama, kujikana nafsi. Je katika hayo ni lipi ambalo walitenda na kumpatia mwanya Ibilisi katika maisha yako? 

Habari njema ni kwamba , ukimtegemea Yesu kwa moyo wote bila kujichanganya na mabo ya dunia ,kwake ushindio ni wa Lazima. 

Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. 

Biblia izungumziapo Mbinu za ibilisi dhidi ya wale wamtegemeao Yesu huishia na kauli ya ushindi , hii ni kutokana na Ukweli kwamba KUPITIA KIFO CHA YESU PALE MSALABANI IBILISI ALINYIMWA UWEZO DHIDI YA WOTE WAMTEGEMEAO YESU

Ufunuo 12:11. Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakuyapenda maisha yao hata kufa.